Skudu Makudubela atua AS Vita
Mchezaji wa Zamani wa Yanga Skudu Makudubela (34) amesajiliwa na klabu ya As Vita club ya Dr Congo. Skudu amesaini mkataba wa miezi nane (8) wenye kipengele cha kuongeza mwaka mmoja(1) mwingine.
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com