Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2013

MTANZANIA AZIDI KUTESA ULAYA

Picha
KIUNGO chipukizi Mtanzania, Adam Nditi jana aliendelea kuwa nje wakati timu yake, Chelsea ilipolala 1-0 mbele ya Norwich ugenini, bao pekee la Cameron McGeehan dakika ya mwisho kwa penalti katika Fainali ya kwanza ya Kombe la FA la Vijana. Mechi ilionekana itaisha kwa sare hadi beki wa Chelsea, Alex Davey alipodaiwa na refa Neil Swarbrick kumuangusha kwenye eneo la hatari Joshua Murphy katika dakika ya pili ya dakika za nyongeza. McGeehan hakuiangusha beji yake ya Unahodha na akaenda kuukiwamisha nyavuni mkwaju wa penalti akimtungua kipa Mitchell Beeney na kuwainia kwa shangwe mashabiki wa nyumbani, Uwanja wa Carrow Road ambao walikuwa zaidi ya 22,000.  Chelsea ilitawala mchezo huo na kutengeneza nafasi nzuri, ambazo walishindwa kuzitumia, lakini waapewa nafasi kubwa ya kuupiku ushindi huo mwembamba katika mchezo wa marudiano nyumbani, Uwanja wa Stamford Bridge wiki ijayo. Sasa ni mwezi wa pili, Nditi anayetokea visiwani Zanzibar anakosekana kabisa katika kikosi c

موسیقی در جامعه افغانستان چه باید کرد؟ راههای تماس: اس ام اس

Picha
سلام، احسان آمرطوسی هستم، و امروز در برنامه «نوبت شما» با موضوع وضعیت موسیقی در افغانستان با شما هستم. با سقوط طالبان در افغانستان و ایجاد زمینه برای کارهای فرهنگی در این کشور، اهالی عرصه موسیقی پس از چندین سال سکوت دوباره فعال شدند. استقبال بخشی از جوانان افغان از موسیقی به خصوص سبک های مدرن و جدید، منجر به شکل گیری گروههای متنوعی در سبک های پاپ، راک و رپ شد. بعضی ها این رشد کمی در زمینه موسیقی افغانستان را نتیجه دسترسی جوانان به تکنولوژی و تاثیر فراگیر شدن رسانه های جدید نظ یر تلویزیون های خصوصی در افغانستان می دانند. از طرفی منتقدان فراگیر شدن این سبک های موسیقی در افغانستان به «بی کیفیتی» کار برخی از این گروهها اشاره می کنند و از «بی ضابطه» بودن و عدم وجود نظارت بر وضعیت موسیقی ایراد می گیرند. شما درباره موسیقی امروز افغانستان چه فکر می کنید؟ آیا از لحاظ کیفی هم این موسیقی را رو گسترش می دانید؟ فکر می کنید چه موانعی در مسیر پیشرفت موسیقی افغانستان وجود دارد؟ آیا امکانات و منابع آموزشی لازم برای هنرجویان و علاقه مندان به موسیقی در افغانستان وجود دارد؟ فکر می کنید

Manchester United are willing to offer £65m plus a player most likely Nani

Picha
Manchester United are willing to offer £65m plus a player most likely Nani — for Cristiano Ronaldo!!

Champs League: Big match feature

Picha
Karim Benzema, Sergio Ramos and Luka Modric © Reuters Champs League: Big match feature 30 April 2013, 11:13 Real Madrid welcome Borussia Dortmund to the Santiago Bernabeu for the semifinal second leg with it all to do after Robert Lewandowski's four goals in Germany gave Jurgen Klopp's team a 4-1 lead to take to Spain. Catch all the action live on SS3 and SS HD1 from 8pm .

MECHI ZA LEO NA KESHO UEFA

Picha

YANGA YAITOSA SIMBA, KULA PILAU NA COASTAL UNION KESHO

Picha
30/05/2013 Na Prince Hoza KAULI iiliyotolewa jana na mmoja kati ya wajumbe wa klabu ya Yanga Abdallah Bin Kleb imedhihirisha kuwa Yanga imeitosa mechi yao dhidi ya Simba ambayo ilipangwa kula pilau lao la ubingwa wa bara.

MECHI YA SIMBA, POLISI MOROGORO YAINGIZA MIL 18

Picha
30/05/2013   Na Mwandishi Wetu   Mechi namba 163 ya Ligi Kuu ya Vodacom iliyochezwa juzi (Aprili 28 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kumalizika kwa Simba kuibuka ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Polisi Morogoro imeingiza sh. 18,014,000.

SHEDY CLEVER AOMBA SAPOTA KWA MASHABIKI WAKE

Picha
30/05/2013 MTAYARISHAJI anayeibukia katika kutengenza nyimbo za muziki wa kizazi kipya hapa nchini Shedrack Moigi ama Shedy Clever wa studio ya Burn Record iliyopo Tabata amewaomba mashabiki wake kumpa sapoti. Shedy (Pichani kushoto)  ambaye ameingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania tuzo zinazotolewa na Kill Music Award zitakazofanyika mwaka huu amesema kuwa anawapenda sana mashabiki wake hivyo anaomba wampigie kura na aibuke mshindi. Akizungumza na mambouwanjani.blogspot.com amedai kuwa anawashukuru Watanzania  kwa ushirikiano wao kwake na kukubali kazi zake. Aidha amesema kuwa Watanzania wamemwelewa kutokana na kazi zake hivyo hatowaangusha, 'Nikweli Watanzania wamenikubali na wanajua kitu gani nafanya hivyo nitaendeleza yale ninayoyafanya sasa' alisema. Ameongeza kuwa atakuwa bega kwa bega na wala kuwaangusha watu wake, Mtayarishaji huyo amejipatia umaarufu mkubwa baada ya kufanikiwa kutengeneza nyimbo zinazofanya vizuri sasa na kumfanya aingine kwenye kuwania

HAMMER Q ALIVYOTAKA KUMUUA MKEWE

Picha
30/05/2013 HIKI NDIYO KIPIGO CHA SALHA KUTOKA KWA MUMEWE HAMMER Q Baadhi ya picha za mkewe baada ya kipigooooo.    Nguo za                                                   Nguo za Hammer Q zikiwa zimetapakaa damu.  Kwa mujibu wa zeddylicious Salha alipewa kichapo hiki baada ya kumtambulisha rafiki yake wa kiume ambae ni Tx Moshi kwa mumewe Hammer Q. Inavyosemekana alimpiga mateke, mangumi, akampasulia kioo kichwani, kampiga na jiko la mkaa kichwani n.k

HUYU NDIO SHABIKI WA SIMBA NA BARCELONA ALIEPIGWA RISASI AKITAZAMA MECHI DS

Picha
Ni fundi wa magari ambae ni shabiki mkubwa sana wa soka, baada ya kazi nzito ya gereji… muda wake mwingi anautumia sana kutazama soka… hakujua kama siku moja angekuja kupigwa risasi akiwa anatazama mechi, stori ya kisa kizima ataizungumza leo usiku april 29 2013 saa moja usiku kwenye AMPLIFAYA ya Clouds FM. Risasi aliyopigwa ni ya mkononi, akishaizungumza stori yake kwenye Amplifaya leo ndio nitaiandika hapa millardayo.com mtu wangu.

SIMBA YAWAVUA MAGWANDA POLISI MORO

Picha
MABINGWA wa zamani wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara Simba SC jana waliwavua magwanda Polisi Moro baada ya kuifunga magoli 2-1 kwenye uwanja wa Taifa jijini, Polisi Moro ambayo ilistahili ushindi mechi hiyo ili ijiwekee mazingira ya kubaki ligi kuu lakini ilijikuta inashindwa kuhimili mashambuliizi ya wachezaji wa Simba. Kwa matokeo hayo sasa Polisi inasubiri miujiza tu ili kubaki ligi kuu, magoli ya Simba yalifungwa na Haruna Chanongo na Mrisho Ngassa, Hata hivyo Simba inajiandaa vilivyo kabla haijakutana na hasimu wake mkubwa Yanga Mei 18

Ronaldo available for Dortmund clash

Picha
Cristiano Ronaldo © Action Images Real Madrid forward Cristiano Ronaldo is fit for Tuesday's Champions League semifinal second leg at home to Borussia Dortmund, after missing their La Liga win over Atletico Madrid through injury, coach Jose Mourinho said. The Portugal international, top scorer in the latest edition of Europe's elite club competition with 12 goals, returned to training with his teammates on Monday after sitting out Saturday's 2-1 La Liga victory. He had damaged a thigh muscle in last week's 4-1 defeat in Dortmund. The 10 outfield players who started against Atletico formed one group working on recuperation at training on Monday, Real said in a statement on their website (www.realmadrid.com). "In the second the rest of the outfield players ... worked with more intensity, including Cristiano Ronaldo," they added. Even with a fit Ronaldo, Real face a stiff task against the Bund

Safa starts junior leagues

Picha
The South African Football Association (Safa), in conjunctiwith the 2010 Fifa World Cup Legacy Trust, has launched the most significant development programme in the history of South African football – the Safa Under 13 and Under 15 Boys and Girls League. The move marks the beginning of the implementation of a critical component of the Safa Technical Master Plan - the building of a rich and robust talent identification and development pipeline. This U-13 and U-15 League programme was made possible through the funding provided by the 2010 Fifa World Cup Legacy Trust. The leagues will kick off in all of the Association’s 311 Local Football Associations (LFA) in May this year. Several coordinators, who are currently being trained, will be responsible for the roll out of the programme in their respective LFAs. Coaches and talent scouts will select LFA teams which will participate in regional competitions followe

Henning Berg: Blackburn must pay ex-boss £2.25m in compensation

Picha
Former Blackburn manager Henning Berg has been awarded £2.25m in compensation after winning his claim against the club at the High Court in Manchester. The 43-year-old was sacked in December, just 57 days into a three-year deal. Rovers argued managing director Derek Shaw acted without the authority of owners Venky's to sanction the compensation terms agreed with Berg as part of his contract at Ewood Park. Blackburn have also been ordered to pay £20,000 in interim costs. The Championship club wanted to withdraw their admission that they were liable to pay Berg the full amount for the remainder of his contract, but their claim was dismissed by a judge on Monday. Berg received £562,500 from Blackburn in February and th

VAN PERSIE AIOKOA MAN UNITED KUZAMA KWA ARSENAL EMIRATES

Picha
Robin van Persie earned a point for Barclays Premier League champions Manchester United in a 1-1 draw on his return to Arsenal. The former Gunners captain received the expected hot reception as soon as he stepped out at the Emirates Stadium for a guard of honour, which was impeccably observed by the Arsenal team to mark United's achievements in marching to a 20th championship. It was, though, Arsenal - without suspended forward Olivier Giroud - who raced into the lead as Theo Walcott beat the offside trap to fire the hosts ahead inside two minutes. Returning: Robin van Persie smashed his penalty home to square the game up at 1-1 Clinical: Theo Walcott put Arsenal a goal to the good after just two minutes MATCH FACTS Arsenal: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Rosicky (Wilshere 62), Arteta, Walcott, Ramsey (Oxlade-Chamberlain 78), Cazorla, Podolski (Gervinho 71) Subs not used: Mannone, Vermaelen, Monreal, Jenkinson Booked

GARETH BALE AFUNIKA ULAYA

Picha
Gareth Bale proved unstoppable again on Sunday night as he picked up both the PFA Player of the Year and Young Player of the Year awards. The 23-year-old Tottenham winger became only the third man to win the double accolade, following Andy Gray in 1976-77 and Cristiano Ronaldo six years ago. He also joined Mark Hughes, Alan Shearer, Thierry Henry and Ronaldo as the only men to have won the main award twice, after his first triumph in 2010-11. Double delight: Gareth Bale won both the Player of the Year and Young Player of the Year awards on Sunday Winners: Bale with Women's Player of the Year Kim Little and PFA Chairman Gordon Taylor Special guests: Manchester United Class of 92' featuring Ryan Giggs (bottom row left), Eric Harrison (bottom row, second left), Sir Alex Ferguson (bottom right, second right), Paul Scholes (bottom row right), George Switzer (top row second left), Kevin Pilkington (top row, fourth left) Phil Neville (to