Kocha wa makipa Yanga, atimkia FAR Rabat
Kocha wa magolikipa wa Yanga Alaa Meskini amejiunga na FAR RABAT
Baada ya kupata matatizo ya kufiwa na baba yake mzazi, ameamua kurudi Morocco ili awe jirani na familia
Kocha huyo tayari ameondoka Dsm na vitu vyake vyote
