Kocha wa makipa Yanga, atimkia FAR Rabat


Kocha wa magolikipa wa Yanga Alaa Meskini amejiunga na FAR RABAT

Baada ya kupata matatizo ya kufiwa na baba yake mzazi, ameamua kurudi Morocco ili awe jirani na familia

Kocha huyo tayari ameondoka Dsm na vitu vyake vyote