Kocha wa makipa Yanga, atimkia FAR Rabat tarehe Februari 26, 2025 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Kocha wa magolikipa wa Yanga Alaa Meskini amejiunga na FAR RABATBaada ya kupata matatizo ya kufiwa na baba yake mzazi, ameamua kurudi Morocco ili awe jirani na familiaKocha huyo tayari ameondoka Dsm na vitu vyake vyote