CAF imetangaza kanuni kuu kabla ya mashindano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho msimu wa 2025/26: Julai 31: Tarehe ya mwisho kwa mashirikisho ya wanachama kuwasilisha vilabu vitakavyoshiriki Vilabu vinaweza kusajili wachezaji hadi 40 Substitution 5 kwa kila mechi | Wachezaji 9 benchi Wachezaji wapya waliopatikana kwenye dirisha la usajili la Januari lazima wasajiliwe saa 72 kabla ya mechi ili waweze kucheza 🇩🇿🇦🇴🇨🇮🇪🇬🇱🇾🇲🇦🇳🇬🇨🇩🇿🇦🇸🇩🇹🇳🇹🇿 Nchi 12 zenye nafasi ya kuingiza vilabu viwili kwa kila mashindano: Aljeria, Angola, Côte d’Ivoire, Misri, Libya, Morocco, Nigeria, DR Congo, Afrika Kusini, Sudan, Tunisia, na Tanzania.