Kipa Yanga SC afariki dunia


Kipa wa zmaani wa Yanga SC na Tanzania Prisons ya Mbeya Nelson Kimathi (pichani)  amefariki leo asubuhi katika HospitalI ya Bugando Jijini Mwanza. 

Kwa mujibu wa Jerson Tegete anasema Nelly amefariki kwa matatizo ya kifua.

Pumzika kijana wangu Nelly, nakumbuka zile penati zangu za buku 10 ukidaka 1, uliwahi kuzuia 1 sio kama Said Kipao na Denis Richard.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa! Jina lake lihimidiwe.