M-Bet yatishia kusitisha mkataba Simba

Mdhamini mkuu wa Simba Sports Club, Kampuni ya kubashiri M-Bet imeomba kusitisha mkataba wake na Simba mwishoni mwa msimu huu wa 2024/2025.

Klabu ya Simba kwasasa ipo kwenye hatua za kutafuta mdhamini mkuu mpya, Simba SC imeonesha kukubali ombi la M-Bet kusitisha nao mkataba.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI