Tabora United yailaza Dodoma Jiji

Timu ya Tabora United ya mkoani Tabora imeutumia vema uwanja wake wa Ali Hassan Mwinyi baada ya kuifunga Dodoma Jiji bao 1-0 mchezo wa Ligi Kuu bara.

Goli lililowapa ushindi Tabora United limefungwa na Offen Chikola.

Kwa ushindi huo, Tabora United inafikisha pointi 37, ingawa inabaki nafasi ya nne, ikizidiwa pointi nne na Singida Black Stars baada ya wote kucheza mechi 22, wakati Dodoma Jiji inabaki na pointi zake 26 za mechi 21 nafasi ya saba.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI