Msuva apiga assist, timu yake ikishinda 2-0, Iraq

Nyota wa Tanzania Simon Msuva ameisaidia timu yake ya Al Talaba kupata ushindi wa mabao 2:0 dhidi ya Amanat Baghdad FC kwenye mchezo wa FA Cup ya Iraq, Msuva ametoa pasi ya usaidizi (Assist) katika mchezo huo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI