Msuva apiga assist, timu yake ikishinda 2-0, Iraq tarehe Februari 28, 2025 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Nyota wa Tanzania Simon Msuva ameisaidia timu yake ya Al Talaba kupata ushindi wa mabao 2:0 dhidi ya Amanat Baghdad FC kwenye mchezo wa FA Cup ya Iraq, Msuva ametoa pasi ya usaidizi (Assist) katika mchezo huo.