Rais wa Yanga aipa msaada wa vifaa Zalan FC

Klabu ya Zalan FC ya Sudan Kusini imetangaza kupokea vifaa walivyoahidiwa na Rais wa Klabu ya Yanga,Eng Hersi Said ikiwa ni mipira, jezi za mechi na mazoezi na viatu rasmi vya michezo yao.

Baada ya kupokea vifaa hivyo, Klabu hiyo imemshukuru Rais wa Klabu ya Yanga kwa moyo wake wa utoaji.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI