Rasmi kampuni ya GSM Tanzania Limited imeshinda tenda ya kujenga Uwanja wa klabu ya Yanga kwa kushirikiana na klabu hiyo. Rais wa klabu ya Yanga Sc, Eng. Hersi Said ndiye Mwenyekiti wa kamati maalum iliyoundwa kusimamia ujenzi wa uwanja huo, huku Wajumbe wa kamati hiyo watakuwa ni Wajumbe wote wa Kamati ya Utendaji ya Yanga SC. Kamati hiyo itakutana na GSM Tanzania Limited kujadili kuanza kwa mradi huo.
MAMBO UWANJANI
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com