Kocha mkuu wa klabu ya Simba SC Steve Barker raia wa Afrika Kusini, amesema leo kuelekea mchezo wao dhidi ya Singida Black Stars kwamba wanataka kushinda mchezo huo Ili waondoke na alama Amesema wachezaji wako imara kuhakikisha wanacheza kwa viwango vizuri ili kushinda mchezo huku wakiwa na uelewa kuwa Singida ni timu ambayo ina wachezaji pia wenye uwezo mkubwa. Kwa upande wake mchezaji wa Simba Daudi Semfuko amesema wamejianda kuipambania timu hiyo katika kuhakikisha ushindi unapatikana. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 10:15 jioni Steve Barker
MAMBO UWANJANI
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com