Les Aigle De Congo yatibua sherehe za Yanga
Timu ya Les Aigle De Congo ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, (DRC) imeharibu sherehr za Yanga SC baada ya kuifunga mabao 2-1 uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Licha ya mashabiki wa Yanga kujitokeza kwa wingi kusherehekea tamasha lao la Wiki ya Wananchi, lakini vijana hao Aigle wameweza kukomaa na kupata ushindi.