JKT Tanzania yamng' oa Sure Boy Yanga
Mazungumzo baina ya pande zote mbili kwa maana upande wa Salum Abubakar Sure boy na JKT Tanzania yamekamilika na kilichosalia kwasasa ni kusaini kandarasi tu. Licha ya vilabu kama Dodoma Jiji na Mashujaa kuonesha nia ya kuipata huduma yake ila Maafande, Jkt Tanzania ndio wapo karibu zaidi kukamilisha usajili wake Sure (36) anaondoka Young Africans baada ya iandarasi yake kuisha