Kipre Jr arejea Azam FC
Azam Fc wamekamilisha usajili wa winga wa Ivory Coast,Kipre Zunon Jr kutoka MC alger Kwenye mauziano hayo MC wameweka kipengele cha “Sell on” 30% kama Azam watamuuza Kipre basi 30% ya pesa itakwenda MC Alger.
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com