Rais Samia aimwagia pongezi Yanga
Pongezi kwa Klabu ya Yanga kwa tamasha la Yanga Day 2026, hakika limefana sana. Ninawatakia kila la kheri katika msimu ujao kwenye mashindano ya kitaifa na kimataifa.
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com