Mecky Mexime alikataa masharti ya TRA United
Inasemekana Miongoni mwa vitu vilivyopelekea kocha Mecky Mexime kuachana na TRA united licha ya makubaliano kufikiwa na kusimamia mazoezi ya timu hio ni sharti la kutakiwa kushinda mechi nne. Mechi hizo nne za TRA united ni dhidi ya Pamba Jiji, Namungo, Yanga, Singida Black Stars, kama atashinda mechi hizo basi atapewa mkataba wa kudumu kutoka kwenye mkataba wake wa kua kocha wa muda (Interim Coach ).