Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba SC, Crescentius Magori akielezea mchezo dhidi ya Geita Gold unaotarajiwa kupigwa tarehe 31.8.2026 pale Meja Gen. Isamuhyo. "Kila mchezo tunaocheza tukiwa nyumbani hakuna budi kushinda, kwa maana mechi zote tushinde tukiwa nyumbani kama tulivyoshinda za ugenini. "Pia timu kama Geita FC, kwetu sisi ni kama marafiki, kwa hiyo utakuwa mchezo ambao tunapambana na timu tunayoijua vizuri". Anaongeza kuwa "Nasema hivyo kulingana na timu yetu tuliyo nayo. kucheza mechi moja na kupoteza sio ndio kushindwa, ila ndio mwanzo mzuri wa kujua wapi tumekosea, wapi tuboreshe. *Tazama mchezo wetu dhidi ya Coastal Union, tulicheza vizuri bila kadi yoyote nyekundu kama mechi za ugenini. "Tunahitaji kuweka heshima, ndio kila kitu kwenye mpira, kwa hiyo na hilo tumelishughulikia vikali na sasa tunashinda kama kawaida", Anamaliza.