Machapisho

Akaminko ruksa kwenda Yanga

Picha
Klabu ya Azam FC imeachana na Kiungo wake James Akaminko Raia wa Ghana Baada ya Mkataba wake kumalizika. Kocha Mkuu wa Klabu ya Azam FC Florent Ibenge Raia wa Congo Anasema James Akaminko hayuko kwenye Mipango Yake Msimu Ujao. Lakini inaelezwa kwamba huo ni mpango wa Yanga ambayo ilionesha nia ya kumuhitahi sasa kitendo Cha kumuacha ni kuiruhusu Yanga iweze kumsajili kirahisi

MC Alger yavutiwa na Nduwumwe

Picha
MC Alger inavutiwa na kiwango cha mshambuliaji Mossi Nduwumwe (22) kutoka Singida Black Stars FC na tayari wameanza mazungumzo na Singida Black Stars FC ili kupata huduma yake! Ofa nono ilishawekwa mezani kwa Singida Black Stars kilichobaki ni makubaliano baina ya pande zote mbili na hakuna ofa yoyote kutoka Young Africans SC iliyofika mezani kwa Singida Black Stars FC.

16 wapitishwa kugombea Yanga

Picha
WANACHAMA 16 wamepitishwa kugombea nafasi za Ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu ya Yanga kafika uchaguzi utakaofanyika Agosti 2, mwaka huu akiwemo Issa Ally Mangungu ambaye ni mdogo wa Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Ally Mangungu. Wengine waliopitishwa ni Hersi Ally Said anayetetea nafasi yake ya Urais na Arafat Haji anayetetea pia nafasi ya Makamu wa Rais na ambao wote hawana wapinzani.

Leo Ufaransa vs Morocco kombe la Dunia

Picha
DIRISHA la usajili wa Ligi zote za Tanzania Bara limefunguliwa rasmi juzi, Julai 6 na litakuwa wazi hadi Agosti 15 Saa 5:59 usiku litakapofungwa.

Gwalala aamua kusepa Coastal Union

Picha
Kiungo Greyson Gwalala ameachana na Coastal Union FC kuelekea msimu mpya na amesaini mkataba wa TRA United FC. Kila kitu kimekamilika na Greyson Gwalala ni mali ya TRA United FC. 32yrs

Yanga yapita na dogo wa Fountain Gate

Picha
Juma Abushiri (18) to Yanga Ni almost a Deal Done Yanga wame-hijack dili la kinda wa Fountan gate,Juma Abushiri (Chuga Boy) kwenda KAA Gent ya Belgium. Abushiri tayari amesaini mkataba wa miaka mitatu na Yanga Yanga wamempa kiungo huyo sign on fee tsh 90milion,kisha watalipa tsh 100 milion kwenda Fountain gate ili kuvunja mkataba wake wa miaka mitano. Mkataba wa Abushiri na Yanga umesainiwa kwenye hotel ya Gran Melia Arusha Kiungo huyo alikuwa na ofa ya kwenda Gent na alitakiwa kuondoka nchini tarehe 12/8/2026 ila Yanga wamepindua meza na kijana kasaini Jangwani.

Camara atimkia FC Annecy

Picha
Mlinda mlango wa zamani wa Simba Sports, Mousa PinPin Camara anajiunga na FC Annecy inayoshiriki Ligi daraja la pili Ufaransa akiwa mchezaji huru baada ya kumaliua kandarasi unyamani. Camara atacheza French Ligue 2 msimu ujao. FC Annecy walihusika pia na rehab yake kupona majeraha kipindi hiki alichokuwa nje na kusafiri mara kdhaa kuelekea Ufaransa kwa Matibab