Samatta afunga bao lake la kwanza Ufaransa
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Sammata leo amefunga goli lake La kwanza tangu ajiunge na Le havre ya nchini ufaransa dhidi ya OG Nice Samatta ameweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kufunga Goli ligi kuu nchini Ufaransa.