Hili straika la Ivory Coast, linakuja Msimbazi


Uongozi wa klabu ya Simba umeulizia uwezekano wa kumpata mshambuliaji Celestin Ecua raia wa Ivory Coast katika klabu ya Zoman FC ambaye yupo kwa mkopo Asec Mimosas.

Mechi Mbili za Shirikisho kafunga Mabao Mawili.

Inasemekana jamaa ana matukio matukio uwanjani ni kama Drogba


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI