Karaboue akalia kuti kavu Simba

Beki Chamou Karaboue huenda akapewa mkono wa kwaheri na Klabu ya Simba baada ya tu ya msimu huu wa mashindano kutamatika.

Chamou amekosa nafasi katika kikosi cha kwanza cha Kocha Fadlu Davids mbele ya Abdulrazack Hamza na Che Malone na Viongozi wa Simba wanaona hakuna haja ya kuendelea naye msimu ujao.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI