Sowah, Rupia watupia, Singida Black Stars ikiifunga Mashujaa 3-0
Wenyeji Singida Black Stars leo imeendeleza wimbi la ushindi baada ya kuichabanga Mashujaa FC mabao 3-0.
Goli la Rupia limenifanya afikishe mabao 9 na kuendeleza harakati zake za kuibuka mfungaji bora
