WCB Visiwani Zanzibar kwenye Tuzo za Trace

Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa ameambatana na Timu yake, walifika kufanya majaribio ya sauti kuelekea usiku wa Tuzo za Trace Awards ambapo kwa mara ya kwanza zilifanyika Zanzibar katika Hoteli ya The Mora Hotel , jana Februari 26, 2025, kuanzia saa 3 kamili usiku.