Kikosi cha Simba SC kimewasili Visiwani Zanzibar tayari kwa kushiriki mashindano ya Mapinduzi Cup ambayo yanaendelea visiwani huko. . Kwa mjibu wa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Bi Zubeda ni kwamba Klabu hiyo imepania kubeba taji hilo ili kurudisha heshima iliyopotea kwa miaka kadhaa
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com