Injinia Hersi kuendelea kuongoza Yanga hata alipata ubunge

Rais wa klabu Yanga injinia Hersi Said ameeleza kuwa ataendelea na uongozi wake ndani ya klabu Yanga huku akiwa na majukumu mengine ya kugombania uongozi katika wilaya ya Kigamboni

Mbali na hapo Hersi Said ameeleza kuwa makao Rais wa klabu ya Yanga Arafat Haji ataendelea kutumikia uongozi ndani ya klabu Yanga wakiwa pamoja


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI