Ngoma akataa kusaini mwaka mmoja Simba


Klabu ya Simba SC imempa ofa ya kusaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kiungo Fabrice Ngoma (31) kuelekea msimu ujao

Ngoma amekataa ofa hiyo na anahitaji mkataba mpya wa miaka miwili ikiwa kinyume na matakwa yake ataondoka dirisha kubwa lijalo la uhamisho

Simba SC ina nia ya kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja tu na mpaka sasa bado hakuna hatima baina ya pande zote mbili


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI