Simba yaanza na Morice Abraham
Kiungo fundi Morice Abraham amejiunga na simba sc kwa mkataba wa miaka miwili,
Kiungo huyo mshambuliaji siku za hivi karibuni akifanya mazoezi na simba baada ya kuachana na club ya Fk spartak subotica ya Serbia,
Kocha fadlu ameridhika na uwezo wake na rasmi sasa ni mchezaji wa simba sc,
