Yanga yaanza tizi Zanzibar kuiwinda Singida Black Stars keshokutwa
Kikosi cha Yanga SC baada ya kufika leo Zanzibar kimeanza mazoezi yake rasmi kujiandaa na Mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Nchini Tanzania dhidi ya Singida Black Stars ambapo mchezo huo utachezwa jumapili ya wiki hii







