Yanga yaanza tizi Zanzibar kuiwinda Singida Black Stars keshokutwa

Kikosi cha Yanga SC baada ya kufika leo Zanzibar kimeanza mazoezi yake rasmi kujiandaa na Mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Nchini Tanzania dhidi ya Singida Black Stars ambapo mchezo huo utachezwa jumapili ya wiki hii





Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI