Sowah awapiga mkwara Yanga

Mshambuliaji wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah raia wa Ghana, ameipiga mkwara Yanga kwamba kama wakifanya makosa keshokutwa katika mchezo wa fainali atawaadhibu.

"Simba na Yanga hazina tofauti... kama ambavyo Simba walifanya makosa nikawafunga, vivyo hivyo Yanga wakifanya makosa nitawafunga"

Jonathan Sowah, straika wa Singida Black Stars....kuelekea fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI