Mashabiki wa Yanga, Simba waungana kunywa supu ya Ngamia kusherehekea ubingwa wa Yanga
Mashabiki wa Klabu ya Yanga pamoja na wale wa Simba waliungana pamoja kusherehekea Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo Yanga walibeba hapo juzi na kwenye sherehe hizo Yanga waliandaa Supu ya Ngamia.
.
Yanga walibeba Ubingwa huo kwa kumfunga Mtani wake, Simba SC bao 2-0.








