Picha: Gwaride la Yanga.....

Mabingwa wa Ligi Kuu bara, Ngao ya Jamii na kombe la CRDB, Yanga SC wameanza kupiga gwaride lao hii leo likiwa ni maadhimisho ya kusherehekea Mataji yao matano.

Mbali ya kushinda Mataji matatu, Yanga wameshinda kombe la Toyota na kombe la Muungano.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI