SIMBA YAWAVUA MAGWANDA POLISI MORO



MABINGWA wa zamani wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara Simba SC jana waliwavua magwanda Polisi Moro baada ya kuifunga magoli 2-1 kwenye uwanja wa Taifa jijini, Polisi Moro ambayo ilistahili ushindi mechi hiyo ili ijiwekee mazingira ya kubaki ligi kuu lakini ilijikuta inashindwa kuhimili mashambuliizi ya wachezaji wa Simba.
Kwa matokeo hayo sasa Polisi inasubiri miujiza tu ili kubaki ligi kuu, magoli ya Simba yalifungwa na Haruna Chanongo na Mrisho Ngassa, Hata hivyo Simba inajiandaa vilivyo kabla haijakutana na hasimu wake mkubwa Yanga Mei 18

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA