Yanga yawasili salama

Kikosi cha Yanga SC kimewasili jijini Johannesburg Afrika Kusini kabla ya kuelekea Gaborone nchini Botswana.

Yanga itakabiliana na Gaborone United siku ya terehe 5, mwezi huu, wachezaji wake wamekuwa na hali nzuri kabla ya kushuka uwanjani.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI