Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano
Kocha mkuu wa Simba Steve Barker,amewambia viongozi wake kuwa january hii anahitaji wachezaji wapya watano.
Steve Barker,anataka Left-back,Kiungo namba 8,kiungo namba 10,winga wa kulia na beki mmoja wa kati.
Lakini pia kocha huyo amesisitiza kuwa wachezaji wawili kati ya hao watano watatoka South Africa (Kiungo namba 8 na winga).
