Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

Kocha mkuu wa Simba Steve Barker,amewambia viongozi wake kuwa january hii anahitaji wachezaji wapya watano.

Steve Barker,anataka Left-back,Kiungo namba 8,kiungo namba 10,winga wa kulia na beki mmoja wa kati.

Lakini pia kocha huyo amesisitiza kuwa wachezaji wawili kati ya hao watano watatoka South Africa (Kiungo namba 8 na winga).


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons