Yanga yatinga raundi ya kwanza Ligi ya mabingwa Afrika

Mchezo wa marudiano hatua ya swali Ligi ya Mabingwa barani Afrika (CAF Champions League) kati ya klabu ya Yanga dhidi ya Gaborone United umemalizi kunako dimba la Azam Complex jijini Dar Es Salaam huku Yanga wakifuzu kwenda hatua ya pili kwa mabao (2-1).

Mabao ya Yanga wamefungwa na Peter Shalulile na Sheikh Ibrahim Toure wakati goli la Goborone United limefungwa na Lebongang.

Hivi sasa uwiano wa mabao ya jumla "Aggregate" ni (3-2).

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI