Yanga, Simba na Gor Mahia uwanjani mwishoni mwa wiki Ligi ya mabingwa Afrika

Msimu wa CAF Champions League unaanza kwa vigogo wa Tanzania; Yanga SC na Simba SC wakiwa tayari kwa hatua ya kwanza ya mchujo.

Yanga itakuwa ugenini kukutana na Gaborone United, huku Simba wakikabiliana na Mighty Wanderers nao wakiwa ugenini.

Majirani Gor Mahia wao watawakaribisha Pyramids FC kutoka Misri na mechi

GABORONE UNITED YANGA SC

Jumamosi, 5 Septemba
Saa 1:00 Usiku
Azam Sports 2 HD

MIGHTY WANDERERS
SIMBA SC

Jumapili, 6 Septemba
Saa 9:00 Alasiri
Azam Sports 2 HD


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI