Yanga SC yarudi uwanja wa Azam Complex

YANGA SC itautumia Azam Complex kama uwanja wao wa nyumbani katika mchezo wa marudiano dhidi ya Gaborone United kwenye michuano ya CAF Champions League.Azam Complex,12 Septemba 2026,19:00 .

Mchezo huo unatarajiwa kuwa muhimu kwa Yanga katika harakati za kusonga mbele kwenye hatua inayofuata ya mashindano hayo ya kimataifa. Wananchi, maandalizi yanaanza!

Azam Complex ndiyo itakuwa sehemu ya Yanga katika usiku wa kusaka tiketi ya hatua inayofuata ya CAF Champions League.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI