Yanga na ST George kumenyana kesho

Baada ya mikiki ya Ligi Kuu, Wananchi Yanga SC Septemba 18, 2026 watakuwa na kibarua kingine katika mchezo wa kirafiki dhidi ya St. George ya Ethiopia.

Mchezo huo utachezwa kesho Ijumaa kuanzia saa 12 00 jioni huku mechi hiyo ikirushws live na Azam Tv




Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI