TP Mazembe hiyoo raundi ya kwanza

Klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imefuzu hatua ya pili ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) baada ya kuiondosha Medeama SC ya Ghana kwa matokeo ya jumla ya 4-1 kwenye hatua ya awali.

TP Mazembe imechomoza na ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa marudiano uliopigwa Lubumbashi baada ya kuibuka na ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa huko Ghana wiki iliyopita.

FT: TP Mazembe πŸ‡¨πŸ‡© 3-1 πŸ‡¬πŸ‡­ Medeama SC
⚽ 03' Mwaungulu
⚽ 19' Kazema
⚽ 88' Mwaungulu
⚽ 90+2' Amponsah

TIMU ZINGINE ZILIZOFUZU HATUA YA PILI:

πŸ‡ΏπŸ‡¦ Orlando Pirates
πŸ‡ΈπŸ‡© Al Merreikh SC
πŸ‡ΈπŸ‡© Al Hilal Omdurman
πŸ‡ΈπŸ‡Έ Al Merreikh Bentiu FC
πŸ‡ΏπŸ‡Ό Scottland FC
πŸ‡²πŸ‡¬ CFFA FC
πŸ‡²πŸ‡¦ Maghreb Fez FC
πŸ‡¦πŸ‡΄ Petro de Luanda
πŸ‡³πŸ‡¦ African Stars


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI