Singida BS kukutana na Tusker kombe la Shirikisho


Iwapo Singida Black Stars watafanikiwa kufuzu kesho dhidi ya Al Ghazala Wau, watakutana na Tusker FC katika raundi ya pili ya awali ya CAF Confederation Cup.

Tusker FC tayari imefuzu rasmi hatua hiyo baada ya kuiondosha Al Ahli Madani kwa ushindi wa jumla ya mabao 3-2.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI