Simba yamkaribisha Gamondi

Tumepata ugeni wa Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Miguel Gamondi akiongozana na maafisa wengine wa benchi la ufundi na Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini kwa lengo la kujenga ushirikiano kati ya klabu na TFF katika eneo linalohusisha timu za taifa.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI