Simba nao kama Yanga, yatoa msaada kwa watoto Malawi

Klabu ya Simba imetembelea na kutoa msaada kwenye kituo cha kutunza watoto cha Ministry of Hope Crisis kilichopo hapa Lilongwe, Malawi kama sehemu ya kurudisha kwa jamii kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI