Simba kutumia uwanja wa Uhuru mechi za kimataifa


Uhuru Stadium inaendelea kujiandaa kikamilifu kwa ajili ya usiku wa soka la kimataifa, huku uwanja huo ukitarajiwa kuwa mwenyeji wa mchezo wa nyumbani wa Simba SC katika hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) mwishoni mwa wiki ijayo.

Jukwaa linaandaliwa, Simba inajiandaa ni muda wa Wanasimba kuonyesha nguvu zao kwenye anga za CAF


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI