Pitso Mosimane awa kocha mkuu Bafana Bafana

Shirikisho la Soka la Afrika Kusini (SAFA) limemtambulisha rasmi mkufunzi Pitso Mosimane kuwa kocha mkuu mpya wa Timu ya Taifa ya Afrika Kusini, (Bafana Bafana) akichukua mikoba ya Hugo Broos aliyeondoka baada ya mkataba wake kutamatika.

Rais wa SAFA, Danny Jordaan, amemtangaza rasmi Mosimane leo Septemba 1, 2026 ikiwa ni urejeo wa pili kwa kocha huyo wa zamani wa Mamelodi Sundowns na Al Ahly kuinoa Bafana Bafana tangu alipokiongoza kikosi hicho kuanzia 2010 hadi 2012.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI