Opah Clement naye asajiliwa Saudi Arabia


Kapteni wa timu ya taifa ya Tanzania, Twiga Stars, Opah Clement, amejiunga na klabu ya AlUla FC Women inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Saudi Arabia.

Opah amejiunga na AlUla akitokea SD Eibar ya Ligi Kuu nchini Hispania ambayo ameitumikia kwa msimu mmoja, huku klabu hiyo ya Alula ikiwa tayari imemtambulisha rasmi kama mchezaji wake mpya.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI