Mecky Mexime njiani kutua TRA
Kocha wa zamani wa Mbeya City, Mecky Mexime, yupo njiani kujiunga rasmi na klabu ya TRA United ili kuchukua mikoba ya kocha Etienne Ndayiragije.
Kocha Mecky Mexime anaenda kuifundisha timu hiyo ya wakusanya mapato ya TRA United na kuchukua nafasi ya Kocha Etienne Ndayiragije.
Hatua hii ya Mexime inakuja baada ya kuachana na klabu ya Mbeya City
