Kangwanda aitwa timu ya taifa


Kocha wa Zambia, George Lwandamina, ameitangaza orodha ya wachezaji kwa ajili ya michezo ya kufuzu AFCON.

Albert Kangwanda wa Yanga SC ameitwa kwenye kikosi cha Chipolopolo, huku Clatous Chama wa Simba SC akikosa nafasi.

Hii ni habari kubwa kwa Kangwanda ambaye anaendelea kujenga nafasi yake kwenye timu ya taifa.

Kwa upande wa Chama, kuachwa nje ni pigo jingine na sasa itakuwa juu yake kuendelea kufanya kazi ili kurejea kwenye mipango ya kocha.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI