Juma Mgunda shakani


Juma Mgunda amekuwa kocha wa kwanza mzawa kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara 2026/27 kupoteza michezo 4 mfululizo ya ligi.

Pia amekuwa kocha wa kwanza mzawa kupoteza michezo minne mfululizo ya ugenini msimu huu:

2️⃣-1️⃣ vs JKT Tanzania
3️⃣-2️⃣ vs Singida Black Stars
2️⃣-0️⃣ vs Azam FC
1️⃣-0️⃣ vs Dodoma Jiji

Kwa mwenendo huu kocha Mgunda anajiweka shakani na kuiweka timu majaribuni


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI