Harmonize aenda kumpa pole Samia Kizimkazi


Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya Rajab Abdul Kahali 'Harmonize' amefika kumpa pole na kumfariji Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, leo Septemba 11, 2026, kufuatia kufiwa na Mume wake Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan.

Maalim Hafidh amefariki dunia Septemba 7, 2026 katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena Zanzibar.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI