Clara Luvanga atinga makao makuu Yanga
Mchezaji wa zamani wa Yanga Princess Clara Luvanga ambaye kwa sasa anacheza Ligi kuu nchini Marekani amemtembelea Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said ofisini na kuzungumza mambo mbali mbali kuhusu maendeleo ya mchezaji huyo siku hadi siku






