Clara Luvanga atinga makao makuu Yanga

Mchezaji wa zamani wa Yanga Princess Clara Luvanga ambaye kwa sasa anacheza Ligi kuu nchini Marekani amemtembelea Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said ofisini na kuzungumza mambo mbali mbali kuhusu maendeleo ya mchezaji huyo siku hadi siku


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI