Clara Luvanga aandika historia soka la wanawake duniani
Mchezaji wa Kimataifa wa Tanzania, Clara Luvanga, ameandika historia ya kuwa Mchezaji aliye sajiliwa kwa pesa Nyingi zaidi katika Historia ya soka la Wanawake Duniani baada ya kukamilika kwa uhamisho wa kujiunga na Washington Spirit ya Marekani akitokea Al-Nassr, kwa kusaini mkataba wa miaka minne utakaodumu hadi mwaka 2029.
ππππππ ππ ππππππ (4) πππππ ππ πππππππππ ππ ππππ πππππππ
1. Clara Luvanga kutoka: Al Nassr to Washington kwa ada ya €1.7m (tsh 5.2bilion).
2.Grace Geyoro kutoka PSG to London City €1.65m (tsh 5bilion).
3.Kerolin Nicoli kutoka Man City to Barcelona €1.5m (tsh 4.6 bilion).
4.Felicia SchrΓΆder HΓ€cken to Real Madrid €1.5m (tsh 4.6bilion).
Kwa kifupi Mtanzania Luvanga ndo mchezaji ghali kuliko wote Duniani.
