Azam FC na Simba sasa kupigwa Septemba 16
Mechi ya Simba dhidi ya Azam iliyopangwa kuchezwa baada ya Simba kumalizana na Mighty wanderers mkondo wa kwanza ligi ya mabingwa umeahirishwa na sasa utapigwa tarehe 16 baada ya Simba kumalizana na Mighty mkondo wa pili
Mliosubiria kumuona maestro Feitoto akicheza dhidi ya Simba mtasubiri kidogo
