Arobaini ya mtoto wa Zuchu yatajwa

Mrembo Esma Platnumz ambaye ni dada wa Diamond Platnumz ameutumia ukurasa wake wa instagram kuitaja tarehe ya arobaini ya mtoto wa Zuchu na Diamond kuwa ni tarehe 12 mwezi huu .

Esma Platnumz ameeleza kuwa hii itakuwa ni season 2 ya mwana kakua baada ya ile ya kwanza kule hospitalini.

''Season 2 ya mwana kakua Madale tarehe 12 mwezi huu''Ameandika -Esma Platnumz


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI