Al Ahli Tripoli yaisurubu bila huruma KMKM


Fiston Kalala Mayele na wenzake wameonyesha ubora mkubwa baada ya kuichapa KMKM 3-0 kwenye Uwanja wa New Aman Complex.

Al Ahli Tripoli wameanza kwa kishindo safari yao ya CAF Confederation Cup, huku Mayele akiendelea kuonyesha makali yake!

Mabao mengine ya Tripoli yamefungwa na Mahdou El Houni dakika ya 20 na Hocine Dehiri dakika ya 27, Mayele akifunga dakika ya 22
KMKM sasa wana kazi kubwa ya kwenda kupindua meza ugenini kwenye mchezo wa marudiano


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI