Akina Mayele wapeta Afrika


Al Ahli Tripoli imefanikiwa kutinga hatua ya pili ya awali ya CAF Confederation Cup baada ya kuiondosha KMKM ya Zanzibar kwa ushindi wa jumla ya mabao 7-0.

Mchezo wa kwanza wa ugenini Al Ahli walishinda 3-0 na mchezo wa leo wa marudiano wameshinda 4-0.

Fiston Mayele amefunga jumla ya magoli 3 kwenye michezo yote miwili. 


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI