Mbwana Samatta afunga bao la msimu

Nahodha wa zamani wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta amefungua akaunti yake ya magoli kwenye Ligi Ligi kuu Ufaransa (Ligue 1) na kuisaidia timu yake ya Le Havre kuondoka na alama moja kwenye sare ya 1-1 ugenini dhidi ya Olympique Lyon.

Le Hevre walikuwa wa kwanza kufunga bao kupitia kwa Nahodha wa zamani wa Tanzania, Mbwana Samatta dakika ya 74 kabla ya Lois Openda kuisawazishia Lyon dakika ya 87 na kufanya timu hizo kugawana alama moja


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI