Mo Dewji anunua tiketi 5000, kesho atakufa mtu


"Rais wa heshima wa Simba, Mohamed Dewji amenunua tiketi 5000,Wadhamini wa Simba SC AfriCarriers wamenunua tiketi 2000 wakati Azim Dewji na wafanyakazi wa kampuni yake wamenunua tiketi 1000 lengo ni kuhakikisha mashabiki wanaujaza Uwanja wa Mkapa kesho na kuhamasisha tunamfunga Uganda"

Clifford Ndimbo , Afisa Habari wa TFF


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI