CHELSEA YAFUTURISHA WAISLAMU UINGEREZA

Klabu ya Chelsea imekuwa Klabu ya kwanza nchini Uingereza kuruhusiwa na kutumika kwa ajili ya kula Iftar kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Lakini pia Uwanja wa Chelsea wa Stamford Bridge umekuwa ni uwanja wa kwanza wa timu ya ligi kuu ya England kutumika kwa ajili ya Kuftar kwenye mwezi mtukufu wa Ramadhani.







Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI