Zitoeni hela benki Yanga wana kikosi hatari
Na Hans Raphael
Yanga wana timu bora sana acheni utani,kama mnasema hela zipo benk zitoeni zilete wachezaji kwasababu Yanga wana kikosi hatari sana ,umeona moto wa Mwijage, umeona moto wa Shalulile, umeona Moto Yao Kouass
Umeona moto wa fullback wa kushoto,yule bwana mdogo ni fundi wa mpira,staki kusema sana lakini hapo bado hajaingia Albert Kagwanda bado hajaingia Toure,bado hajaingia Zakouan...aisee Yanga ni hatari toeni hela benk mlete wachezaji



